25/04/2026
*TANZIA*
Nimepokea taarifa kutoka kwa Baba yangu huko Mwanza.
*MAMA YANGU MZAZI AMELALA.*
Alidondoka asubuhi, akapoteza fahamu, akapelekwa na Baba pamoja na wengine Pasians Hospital, waka-comfirm alishalala.
Ufunuo wa Yohana 21:3,4
*_³ Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao._*
*_⁴ Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita._*
```MNITEGEMEZE KWA MAOMBI```