Aviation Tanzania

Aviation Tanzania Follow our WhatsApp channel at https://whatsapp.com/channel/0029VaG0R8tAe5VzPI8VZL2k
(1)

12/05/2026

India has successfully completed the first locally assembled Airbus C295 at Tata Advanced Systems final assembly line in Vadodara, marking a major step in the country’s efforts to expand domestic aircraft manufacturing capabilities.

The aircraft is being produced in partnership with Airbus under India’s military transport aircraft modernization program.

Under the $2.5 billion agreement, India will receive a total of 56 C-295 aircraft. The first 16 aircraft were delivered fully built from Spain, while the remaining 40 are being manufactured and assembled in India by Tata Advanced Systems.

The C-295 is a twin-engine military transport aircraft designed for carrying troops, cargo, medical evacuation missions and other tactical operations.

The rollout marks a major step in expanding India’s local aerospace manufacturing capabilities through international industrial partnership.

11/05/2026

Kamera za ulinzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Denver zimenasa tukio zima namna ndege ya Frontier Airlines aina ya A321neo (N646FR) ilivyomgonga mtu aliyekuwa kwenye barabara ya kuruka na kutua (runway) katika uwanja huo.

Ndege hiyo ilikuwa ikifanya safari namba 4345 kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Denver kuelekea Los Angeles na imeripotiwa kuwa ilimgonga mtu huyo ikiwa katika kasi ya knots 127 ardhini Kabla ya kupaa.

Ni takriban wiki moja imepita tangu shirika la ndege la spirit Airlines lilipotangaza kusimamisha shughuli zake kutokana...
11/05/2026

Ni takriban wiki moja imepita tangu shirika la ndege la spirit Airlines lilipotangaza kusimamisha shughuli zake kutokana na changamoto za kifedha, Siku ya Ijumaa Mei 8,2026 Kampuni ya uundaji wa ndege ya Airbus ilitangaza fursa za kazi kwa wafanyakazi waliokuwa wakihudumu katika shirika hilo.

Airbus ilitoa tangazo hilo katika ukurasa wake rasmi wa mtandao wa X, na kutoa muongozo wa namna ya kutuma maombi ya kazi hizo kwa waliopo nchini Marekani.

Airbus ni moja ya kampuni kubwa za uundaji na utengenezaji wa ndege duniani, na ina shughuli nyingi za usafiri wa anga nchini Marekani. Kituo chake kikubwa nchini humo kinapatikana Mobile,Alabama ambapo kuna kiwanda cha kuunganisha ndege za aina ya A320 na A220 kwa ajili ya wateja wake waliopo kaskazini mwa Marekani. Kwa sasa, kiwanda hicho kina zaidi ya nafasi 40 za kazi zilizopo wazi katika maeneo mbalimbali k**a uhandisi, utengenezaji wa ndege, usafirishaji wa vifaa, na ukaguzi wa ubora.

Lakini Airbus si kampuni pekee inayotafuta wafanyakazi waliokuwa wakifanya kazi Spirit Airlines, Kampuni ya American Airlines imeanzisha ukurasa maalum wa ajira unaoitwa “Supporting Spirit” ili kuwasaidia wafanyakazi hao kupata kazi mpya.

Pia, Southwest Airlines imeonyesha nia ya kuajiri baadhi ya mafundi wa ndege waliothibitishwa kutoka Spirit. Wakati huo huo, Nomadic Aviation Group inatumia marubani wa zamani wa Spirit kusafirisha ndege zilizositishwa kufanya kazi kwenda maeneo ya kuhifadhi ndege jangwani.

Spirit Airlines ilisimamisha huduma zake baada ya miaka 34 na kupelekea zaidi ya wafanyakazi 17,000 kubaki Bila ajira.

Vyanzo: Airbus & Aviation Circle

Kenya Airways has confirmed that one of its grounded Boeing 787-8 Dreamliner aircraft has officially returned to service...
10/05/2026

Kenya Airways has confirmed that one of its grounded Boeing 787-8 Dreamliner aircraft has officially returned to service after undergoing maintenance at Jomo Kenyatta International Airport.

The aircraft’s return is expected to strengthen the airline’s operations ahead of the busy travel season, especially with increased demand for flights to the Americas ahead of the 2026 FIFA World Cup.

Acting CEO George Kamal officially received the aircraft on Saturday and said the airline is pleased to have the Dreamliner back in service before the peak travel season begins.

Earlier in the first quarter of 2025, several Dreamliners were grounded due to engine-related issues, leading to a 20 percent reduction in the airline’s operating capacity.

In March, Kamal said the airline expected to receive replacement engines in phases between April and June. Kenya Airways had planned for two aircraft to return before the peak season, while the third aircraft is expected to resume operations by June.

The airline’s fleet of Dreamliners mainly operates long-haul routes, including its flagship nonstop service between Nairobi and John F. Kennedy International Airport in the United States.

To the mothers raising future aviation dreamers, thank you for teaching them to look up at the sky and believe they can ...
10/05/2026

To the mothers raising future aviation dreamers, thank you for teaching them to look up at the sky and believe they can reach it. ✈️

Happy Mother’s Day

Mamlaka ya usafiri wa anga nchini Marekani Inachunguza tukio la ajali iliyotokea usiku Ijumaa Mei 8,2026 baada ya Ndege ...
10/05/2026

Mamlaka ya usafiri wa anga nchini Marekani Inachunguza tukio la ajali iliyotokea usiku Ijumaa Mei 8,2026 baada ya Ndege ya kampuni ya Frontier Airlines aina ya Airbus A321neo kumgonga mtu aliyekuwa akikatiza kwenye njia ya kurukia ndege (runway) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Denver.

Kwa mujibu wa taarifa za uwanja wa ndege na shirika hilo, tukio lilitokea majira ya saa tano usiku kwa saa za Marekani baada ya mtu huyo kuruka uzio wa usalama wa uwanja wa ndege na kuingia ndani ya eneo la runway. Dakika mbili baadaye, mtu huyo alionekana akivuka runway ndipo ndege hiyo ilipomgonga na kupoteza maisha papo hapo.

Baada ya tukio hilo, marubani waliripoti moto kwenye injini pamoja na moshi ndani ya eneo la abiria, hali iliyomlazimu rubani kusitisha zoezi la kuruka mara moja.

Abiria wote 224 walitolewa nje kwa kutumia njia za dharura za kuteleza (emergency slides) k**a tahadhari ya usalama, kabla ya kurejeshwa kwenye jengo la abiria kwa mabasi. Hakuna taarifa za majeruhi miongoni mwa abiria au wahudumu.

Airbus A321neo, ilikuwa ikifanya safari namba 4345 kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Denver kuelekea Los Angeles na imeripotiwa kuwa ilimgonga mtu huyo ikiwa katika kasi ya knots 127 ardhini Kabla ya kupaa.

09/05/2026

Helikopta ya kijeshi nchini Marekani aina ya CH-53K King Stallion imefanyiwa jaribio muhimu la kuiinua helikopta nyingine ya aina hiyo hiyo angani kwa kutumia mfumo wa kubeba mizigo nje ya ndege (external lift).

Jaribio hilo lilifanyika k**a sehemu ya tathmini ya uwezo wa uokoaji na operesheni za kubeba mizigo mizito, huku likionyesha uwezo mkubwa wa CH-53K katika usafirishaji wa vifaa vizito pamoja na kurejesha helikopta au ndege zilizoharibika au kushindwa kufanya kazi.

Katika jaribio hilo, helikopta iliyoinuliwa iliondolewa injini zote tatu, sehemu kubwa za gearbox pamoja na sehemu ya mkia inayojulikana k**a tail pylon ili kupunguza uzito wake. Baada ya kuondolewa vifaa hivyo, uzito wake ulifikia takribani pauni 28,000, ambao bado uko ndani ya uwezo wa kubebwa na CH-53K, kwani helikopta hiyo ina uwezo wa kubeba mizigo yenye uzito wa hadi pauni 36,000.

Jaribio hilo lilifanywa na kikosi cha majaribio ya anga cha Air Test and Evaluation Squadron 21 chini ya usimamizi wa ofisi ya programu ya helikopta nzito ya H-53 Heavy Lift Helicopters Program Office.

Lengo kuu lilikuwa kupima na kutengeneza mbinu mpya za uokoaji wa helikopta za CH-53K.

The national carrier of Uganda, Uganda Airlines, is hiring for the position of Chief Operations Officer.Applications sho...
08/05/2026

The national carrier of Uganda, Uganda Airlines, is hiring for the position of Chief Operations Officer.

Applications should be submitted online at careers.ugandairlines.com.

The deadline for submission is 18 May 2026.

08/05/2026

Kampuni ya uundaji wa ndege nchini Marekani, Boeing imefanya safari ya majaribio ya ndege yake aina ya Boeing 777-9, hatua muhimu katika mafanikio ya Mradi wa uundaji wa ndege za aina hiyo unaofahamika k**a 777X Program.

Safari hiyo ya majaribio ilifanyika ndani ya Saa 5 na dakika 27 kati ya jimbo la Washington na Oregon, kwa lengo la kuhakiki mifumo ya ndege Kabla ya Awamu inayofuata ya ambapo ndege hiyo itafanyiwa majaribio ya ndani ya ndege na mfumo wa mawasiliano ili iweze kupata ithibati.

777-9 ni ndege ya kwanza ya aina hiyo kuundwa na kampuni ya Boeing, Shirika la ndege la Lufthansa Ndio la kwanza kununua ndege hiyo ambayo inatarajia kuingia rasmi sokoni mwaka 2027.

Kwa Mujibu wa mtandao unaorekodi safari za ndege wa Flightradar 24, safari hiyo ya majaribio imefuatiliwa na zaidi ya watu 40,000 katika mtandao huo pale iliporuka kwa mara ya kwanza.

Air Tanzania is planning to launch new flights from Dar es Salaam (DAR) to Moscow, Russia (VKO), via Seychelles (SEZ), m...
08/05/2026

Air Tanzania is planning to launch new flights from Dar es Salaam (DAR) to Moscow, Russia (VKO), via Seychelles (SEZ), marking it as the airline’s first flight to Europe.

The airline has officially announced the plan soon after launching flights to Seychelles, a move that could facilitate the connection of this route.

Air Tanzania is currently subject to EU airspace restrictions. However, the airline is now planning services to Russia, which falls outside the European Union regulatory framework.

08/05/2026

Spotted at Miami International Airport: a Boeing 77-300ER (N771CK) “smash and go” on the runway.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aviation Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Aviation Tanzania:

Share