Safari Bora Tanzania

Safari Bora Tanzania HATUTOI AJIRA❌
KWA MATANGAZO MBALIMBALI NJOO DM Page inajuhusisha na uuzaji wa nguo kwa bei nzuri sana jumla na rejareja

K**a unaenda KIGOMA au unatoka KIGOMA unaenda DAR basi jaribu kupanda hii CHUMA utanishukuru
12/05/2026

K**a unaenda KIGOMA au unatoka KIGOMA unaenda DAR basi jaribu kupanda hii CHUMA utanishukuru

πŸ˜πŸ™ŒπŸ½HAI Ndani ya KIGOMA WAHA Watakukua na gari nyingi k**a ARUSHA ni suala mudaπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½
09/05/2026

πŸ˜πŸ™ŒπŸ½HAI Ndani ya KIGOMA
WAHA Watakukua na gari nyingi k**a ARUSHA ni suala mudaπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½

SASA HIVI SAFARI SIO FURAHA TENAπŸ₯Ήzamani ulikuwa ukisikia unasafari 😌 Unafurahi kupanda BUS 🚌 Lakini sasa hivi ni vilio t...
09/05/2026

SASA HIVI SAFARI SIO FURAHA TENAπŸ₯Ή
zamani ulikuwa ukisikia unasafari 😌 Unafurahi kupanda BUS 🚌 Lakini sasa hivi ni vilio tu , ukisikia Safari afu ya lazima πŸ˜’πŸ˜’ unakuwa mnyongee maana road imekuwa ngumu sanaπŸ™πŸ½

Kwa sasa hakuna wa kulaumiwa , K**a huna ulazima wa safari tuliaa tuπŸ™πŸ½

K**a kunaulazima tusali sana hata mwezi kabla πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

πŸ™ŒπŸ½Ajari zimekuwa nyingi sana K**A HUNA ULAZIMA WA SAFARI TULIA TU na k**a kuna ulazima tumia wiki nzima kabla ukisali na...
09/05/2026

πŸ™ŒπŸ½Ajari zimekuwa nyingi sana

K**A HUNA ULAZIMA WA SAFARI TULIA TU
na k**a kuna ulazima tumia wiki nzima kabla ukisali na kuabudu kweli kwel MBINGU ZIFUNGUKEπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Hapoo kibahaHapoo msamvu Hapoo dom 88Hapoo singida Hapoo Igunga Hapoo tindehapoo shinyanga ERE EPX ERD mtazisikiaa tu zi...
07/05/2026

Hapoo kibaha
Hapoo msamvu
Hapoo dom 88
Hapoo singida
Hapoo Igunga
Hapoo tinde
hapoo shinyanga

ERE EPX ERD mtazisikiaa tu zilikuwepoooπŸ‘‰πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ‘‹πŸ‘‹ 😁😁😁

MUNGU KWANZA πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ˜žImeumiza watanzaniaHili suala la Barabarani sijuii mchawi nan? Tulizoea mwisho wa mwaka na mwanzo laki...
04/05/2026

MUNGU KWANZA πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ˜žImeumiza watanzania

Hili suala la Barabarani sijuii mchawi nan? Tulizoea mwisho wa mwaka na mwanzo lakini hii ndio kwanza katikati😞😞😞

04/05/2026

GOD FIRST πŸ˜’πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½

04/05/2026

BARABARA INAZIDI KUWA NGUMU KWA ABIRIA😌😌

MADEREVA WASIPOKUWA MAKINI WATAISHA NA KUMALIZA ABIRIATMA WAMESHATOA TAHADHARI JUU YA MVUA KUBWA ZA MWAKA HUU 🌧️⚠️Hivyo ...
02/05/2026

MADEREVA WASIPOKUWA MAKINI WATAISHA NA KUMALIZA ABIRIA

TMA WAMESHATOA TAHADHARI JUU YA MVUA KUBWA ZA MWAKA HUU 🌧️⚠️

Hivyo basi, madereva wote mnakumbushwa kuwa makini zaidi barabarani, hasa katika kipindi hiki cha mvua. Barabara zinaweza kuwa na utelezi, mashimo kujaa maji, na mwonekano kuwa hafifu.

Zingatia yafuatayo:

Punguza mwendo unapokuwa barabarani yenye mvua

Hakikisha taa za gari zinafanya kazi vizuri

Epuka kufuata gari kwa karibu (distance muhimu)

Kuwa makini kwenye madaraja na maeneo yenye maji mengi

Hakikisha breki na tairi ziko katika hali nzuri
Kumbuka: Usalama wako na wa abiria ni kipaumbele cha kwanza.

TUENDESHE KWA TAHADHARI – MAISHA NI MUHIMU πŸšπŸ’™

Kutoka mitandaoni kumeibuka  maswal mengi kuwa kwa nini mwanadada nice hayupo tena kwenye kampuni ya TILLISHO SAFARI? Wa...
30/04/2026

Kutoka mitandaoni kumeibuka maswal mengi kuwa kwa nini mwanadada nice hayupo tena kwenye kampuni ya TILLISHO SAFARI?
Wadau wengi wametoa hoja zao na kusema alikuwa na dharau sana na kujiona yeye ndioo yeye kwenye kampuni ,lakini wengine wamesema yeye ndie alifanya kampuni ya TILLISHO kufahamika na kufanya kazi ya ukonda kuonekana ni ya dhamani kwa wadada wote ,

Je wewe unamaoni gani k**a mdau kwenye hili nasoma comment

Upande ni ule ule, Tuendele kusaliπŸ™ŒπŸ½
30/04/2026

Upande ni ule ule, Tuendele kusaliπŸ™ŒπŸ½

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255766627816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Safari Bora Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share