22/06/2019
🕋 *لبَيْكَ اللهُمَّ لبَيْكَ* 🕋
🕋 *لَبَّيْكَ لاَ شَرِيْكَ لَكَ* 🕋
✔ *Tumeitika* Ewe Mola Wetu *Tumeitika* ❗
✨ *IBADA YA HIJA* ✨
📝Somo LA "(1⃣)"
🕋 *MAANA YA _HIJA NA KUFARADHISHWA KWAKE_*
_____________________
🕋 *HIJA KILUGHA* :-
القصد.
يقال ححجت البيت إذا قصدته.
🕋 *KUSUDIO* :-
Husemwa:~
_"nimeihiji nyumba pindi utakapoikusudia_ "
🕋 *HIJA KISHERIA* :-
*السفر إلى مكة بنية العبادة للقيام بالمناسك التي لا تؤدى إلا بالبيت وما جاورها.*
_Ni Safari ya kuelekea makka kwa nia yakufanya ibada kwaajili ya kutekeleza ibada ambazo hazitekelezwi isipokuwa ktk nyumba tukufu na pembezoni mwake._
🕋 *HUKMU YA IBADA HII*-
✍Bila shaka ibada ya hija ni ibada tukufu na ni nguzo ktk nguzo kuu za kiislam na Ni fardhi kwa mwenye uwezo kwa mara moja kwa maisha yake. ❗
*Allah anasema* :-👇
《 *ولله على الناس حج البيت من استطاع إليه سبيلا* 》
*MAANA YAKE:*
_Na Kuna ulazima juu ya watu kufanya ibada ya hija kwa mwenye uwezo_
👉NA aliulizwa siku moja mtume s. a.w 👇
《 *يا أيها الناس كتب عليكم الحج* "
*فقام الأقرع بن حابس أفي كل عام يا رسول الله؟*
*فقال :
" *لو قلتها لوجبت، ولو وجبت لم تعملوا بها ولم تستطيعوا*، *الحج مرة*
*فمن زاد فهو تطوع*》
*MAANA YAKE:*
_enyi Watu mumefaradhishiwa juu yenu ibada ya hija_
*akatokezea Aqraau bin Habis Akasema jee ni kila mwaka Ewe mjumbe wa Allah*
*Akasema*
*Mtume s. a.w**ninge sema *ndio basi ingelazimika* *kuhiji kila mwaka na k**a ingelazimika hivo* *musingeweza kufanya* *kwa hivyo hija ni mara moja tu Atakae ongeza hio kwake ni kujikaribisha*"
🕋 *KUFARADHISHWA* :-
ذهب *جمهور العلماء* إلى أن الحج فرض في السنة السادسة للهجرة.
وقد حج الرسول صلى الله عليه وسلم في السنة العاشرة حجة ودع فيها المسلمين ولم يحج غيرها
"Ibada ya hija imefaradhishwa ktk mwaka wa sita baada ya hijra, .
Na alihiji mtume s. a.w. ktk mwaka wa kumi hija aliwaga waislam na hakuhiji tena baada ya hapo.
Ila qauli sahihi ya sheikh Alqannubiy Ni kuwa
وكان تشريعه في السنة التاسعة أو العاشرة للهجرة النبوية على القول الصحيح الراجح
_kufaradhishwa kwake kulikuwa ktk mwaka wa tisa au kumi baada ya hijra kwa qauli sahihi yenye nguvu._
أما رواية التي تقول على فرضية الحج سنة 6 وتأخيرها إلى سنة 10 هي رواية باطلة من رواية الواقدي وهو متهم بالكذب في الحديث.
_Amma mapokezi yanayosema kuwa hija imefaradhishwa mwaka wa 6, kisha akaicherewesha Mpka mwaka wa 10 hio Ni mapokezi batili ktk mapokezi ya alwaafidiy NAYE Ni mwenye kutuhumiwa kusema uongo ktk hadithi._
🕋 *FADHILA ZAKE* :-
ورد في فضل الحج أحاديث كثيرة منها:-
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم
《 *من حج فلم يرفث ولم يفسق رجع كيوم ولدته أمه* 》"
*MAANA YAKE:*
_Atakae hiji kisha asifanye machafu na kufanya ufuska atarud k**a kazaliwa na mama yake ( upya hana makosa_
وسئل رسول الله صلى الله عليه وسلم أي الأعمال أفضل؟
قال إيمان بالله ورسوله،
قيل ثم ماذا ؟
قال جهاد في سبيل الله،
قيل ثم ماذا؟
قال :- حج مبرور 》
*MAANA YAKE:*
_aliulizwa mtume s. a.w ni_ _zipi matendo bora mbele ya Allah?_
_akasema kumuamini Allah na Mtume wake_
akaulizwa kisha ni ipi baada hio_
_akasema kupigania jihad ktk njia ya Allah, kisha_ _akaulizwa ni ipi nyengine_
_akasema hija iliyokubaliwa_ ""
وقال أيضا :-
《 *العمرة إلى العمرة كفارة لما بينهما والحج مبرور ليس له جزاء إلا الجنة*》
*MAANA YAKE:*
_Umra Mpka Umra ni kifutio katikati yake, na hija iloyokubaliwa hakuna malipo yake isipokuwa kuingia peponi tu_
UNAENDELEA. ...
*IN SHAA ALLAH*
____________☆☆☆
✍MTAARISHAJI
*Humoud Alrawaahiy*
+96894646822/ Oman