Tujuzane yenye kujenga

Tujuzane yenye kujenga MAFUNZO MBALIMBALI YENYE KUJENGA

31/05/2023
24/07/2022

Tujuzane yenye kujenga will be active very soon

20/06/2021

Hello friends

05/06/2021

Coming soon

28/12/2020

Muchwa Academy O. s
Qt and ressitters
Centre for NECTA
Karibuni.

Helo TanzaniaCeo of Tujuzane yenye kujenga
28/12/2020

Helo Tanzania
Ceo of Tujuzane yenye kujenga

19/05/2020

SITASAHAU
SEHEMU YA 5
Engel aliwasha gari na tukaanza kuelekea SEHEMU ambayo Mimi mwenyewe sikujua Mara nilish*tukia tupo Kona ya bwiru na muda mfupi tuliingia Barabara ya Ilemela inayoelekea Airport, niliamua kumuuliza Engel ,,Engel tunaenda wapi mbona naona tunaenda mwendo mrefu Sana? Mrembo alinigeukia Kisha akatabasamu nakunambia ukipewa nafasi unatakiwa kuitumia vizuri na alikanyaga mafuta zaidi na gari ikawa kwenye speed 100 na ghafla nilish*tukia anaiacha main road nakuingia Barabara ambayo nilijua inaelekea moja ya hotel kubwa na za kifahari jijini Mwanza iitwayo Malaika Beach resort .. nilish*tuka nakumuuliza inamaana tunaenda Malaika hotel au Veep? Alinijibu yes why not? Nikahamaki kwa kumwambia lakini unatambua kule Kuna gharama kubwa na Mimi baba ako kanipa shilingi elfu ...kabla sijamaliza kuongea alinikatisha na kunambia Hilo niachie Mimi Chris. Kwa kweli nilishangaa Sana kwani sikuwaza kuwa nitakuja kuingia katika hotel Ile kubwa kwani kukanyaga tu pale gharama yake ilikuwa 10,000 hapo hujagusa maji wala soda.. Engel alipaki gari na moja kwa moja tukaelekea reception ambapo nilish*tuka Engel akimpa mhudumu 20000 na kumwambia anomba chumba chenye single akamkabidhi kibunda Cha pesa ambacho sikujua amekitoa wapi nilibaki nimeduwaa sielewi kinachoendelea..mhudumu alituongoza mpaka room no xx ambapo alitukabidhi ufunguo nasi tukaingia humo lakini kabla ya chochote nilimuuliza Engel kwa Nini amenileta pale aliishia kucheka Kisha akajirusha kitandani huku kimini chake kifupi kikiacha nusu ya maumbile yake wazi nikiwa nimeduwaa alinirukia na kunisukumia kitandani Kisha.....Nini kiliendelea ..
Tukutane SEHEMU ya sita
Mtunzi Tailes Linus Chaula

13/05/2020

Hapa ndipo palipo na story zuri na ya ukweli ya mwalimu Tacha li senior

05/09/2018

Hiiii my people soon nitakuwa nanyi kuwaleteeni mwendelezo wa hadithi yetu tamu

21/06/2018

MAISHA ya DADA zetu WHATSAPP, FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka"
BAADA YA MIEZI MIWILI
STATUS:"Binadamu wengi ni wasaliti"
"trust nobody"
"Na hili nalo litapita"
BAADA YA MIEZI SITA
Status:"Yesu wewe ndio rafiki wa kweli"
"Bwana ndiye mchungaji wangu"
BAADA YA MIEZI TISA NA KIDOGO
STATUS: "Nakupenda mwanangu😅😅

24/02/2018

Address

Iringa

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

0752068638

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tujuzane yenye kujenga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share