Tanzania Muslim Hajj Trust

Tanzania Muslim Hajj Trust 🕋 Watumishi wa wageni wa Ar-Rahman Kwa miaka 20+
🇹🇿 Tunapatikana mtaa wa Pemba No.16 na Mkunguni No.21 karibu na Livingstone, Dar es Salaam

📸 Al-Ḥajar al-Aswad – Jiwe Tukufu la Ka‘bahJiwe adhimu lililobarikiwa na Allah ﷻ, na miongoni mwa alama mashuhuri za Nyu...
04/12/2025

📸 Al-Ḥajar al-Aswad – Jiwe Tukufu la Ka‘bah

Jiwe adhimu lililobarikiwa na Allah ﷻ, na miongoni mwa alama mashuhuri za Nyumba Tukufu.
Hapa ndipo Mtume ﷺ alianza Tawaf, na hapa ndipo mahujaji kutoka kila pembe ya dunia huanzisha safari zao za ibada kwa unyenyekevu na ikhlasi.

Ni jiwe ambalo Mtume ﷺ alilibusu, akalishika, na akasisitiza fadhila za kulikaribia au kulielekea kwa ishara kisha kutamka Allāhu Akbar.
Na k**a alivyoeleza Sayyiduna ‘Umar (r.a) alipolisogelea:

“Najua wewe ni jiwe tu; hunufaishi wala kudhuru. Na lau nisingemuona Mtume ﷺ akikubusu, nisingelikubusu.”
(Kauli hii inathibitisha kwamba ibada ni kufuata Sunnah, si kulitukuza jiwe lenyewe.)

🔴 JE, UNA NIA YA KUFANYA HIJJA AU UMRAH ?
🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST: WATUMISHI WA WAGENI WA MOLA
USAJILI NA MAPOKEZI YA MAHUJAJ NA MU'UTAMIR KWA AJILI YA HAJJ NA UMRAH IMEANZA KWA MWAKA 2025-26 1447H

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

📸 Madinah Al-Munawwarah, Saudi ArabiaMji wa nuru, wa utulivu, na wa rehema.Ni hapa ambapo mioyo ya Waislamu kutoka kila ...
27/11/2025

📸 Madinah Al-Munawwarah, Saudi Arabia
Mji wa nuru, wa utulivu, na wa rehema.
Ni hapa ambapo mioyo ya Waislamu kutoka kila pembe ya dunia hupumzika — na roho hupata amani isiyoelezeka.

🔴 JE, UNA NIA YA KUFANYA HIJJA AU UMRAH ?
🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST: WATUMISHI WA WAGENI WA MOLA
USAJILI NA MAPOKEZI YA MAHUJAJ NA MU'UTAMIR KWA AJILI YA HAJJ NA UMRAH IMEANZA KWA MWAKA 2025-26 1447H

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

📸 MAHUJJAJI WETU WAKIWEPO MADINAH AL-MUNAWWARAH📍 Madinah Al-Munawwarah, Saudi ArabiaMji wa nuru, wa utulivu, na wa rehem...
19/10/2025

📸 MAHUJJAJI WETU WAKIWEPO MADINAH AL-MUNAWWARAH

📍 Madinah Al-Munawwarah, Saudi Arabia
Mji wa nuru, wa utulivu, na wa rehema.
Ni hapa ambapo mioyo ya Waislamu kutoka kila pembe ya dunia hupumzika — na roho hupata amani isiyoelezeka.
Hujjaj wa Tanzania Muslim Hajj Trust wakitembea kati ya nuru za Msikiti wa Mtume ﷺ, wakishuhudia uzuri wa mji ambao Allah ﷻ ameubarikisha.


🔴 JE, UNA NIA YA KUFANYA HIJJA AU UMRAH ?
🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST: WATUMISHI WA WAGENI WA MOLA
USAJILI NA MAPOKEZI YA MAHUJAJ NA MU'UTAMIR KWA AJILI YA HAJJ NA UMRAH IMEANZA KWA MWAKA 2025-26 1447H

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

🕋 SAFARI YETU YA UMRAH – JUMADAL ULA 1447H IMEKARIBIA!🗓️ Tarehe: 12 – 22 Novemba 2025 / Jumadal Ula 1447H📍 Makkah & Madi...
18/10/2025

🕋 SAFARI YETU YA UMRAH – JUMADAL ULA 1447H IMEKARIBIA!

🗓️ Tarehe: 12 – 22 Novemba 2025 / Jumadal Ula 1447H
📍 Makkah & Madinah, Saudi Arabia

TUNAKUPA HUDUMA KAMILI:
✈️ Tiketi ya ndege (kwenda & kurudi)
🛂 Visa ya Umrah
🏨 Malazi Makkah (siku 5) & Madinah (siku 5)
🕌 Ziara za kihistoria & kiroho
💊 Bima ya afya + UVIKO
🕋 Ihram kwa wanaume & khanga kwa wanawake
🎓 Mwongozo wa ibada kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah

🌙 Hii ni nafasi yako ya kuwa karibu zaidi na Nyumba ya Allah — bila wasiwasi wa kupanga kila kitu peke yako.

🔴 NAFASI NI CHACHE — JIANDIKISHE LEO!

📲 Tovuti: hajjtrust.co.tz
📞 Simu: +255 784 272 723
📍 Ofisi: Mt. Pemba No.16 & Mt. Mkunguni No.21, karibu na makutano ya Livingstone, Kariakoo — Dar es Salaam

🌟 TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST
Wakongwe wa huduma za Hijja na Umrah nchini Tanzania 🇹🇿

📸 HUJJAJ WAKIWA KATIKA IHRAAM KWA AJILI YA IBADA YA HIJJAMahujjaj wakiwa wanatekeleza nguzo ya tano ya Uislamu ,wakiwa k...
17/10/2025

📸 HUJJAJ WAKIWA KATIKA IHRAAM KWA AJILI YA IBADA YA HIJJA

Mahujjaj wakiwa wanatekeleza nguzo ya tano ya Uislamu ,wakiwa katika maeneo matukufu wakitekeleza ibada ya Hijja kwa mwaka 1446 Hijria
🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST: WATUMISHI WA WAGENI WA MOLA
USAJILI NA MAPOKEZI YA MAHUJAJ NA MU'UTAMIR KWA AJILI YA HAJJ NA UMRAH IMEANZA KWA MWAKA 2025-26 1447H

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

📸 MAHUJJAJI WETU WAKIWEPO MASJIDUL HARAMKatika Safari yetu ya Hijja 1446H📍 Makkah Al-Mukarramah, Saudi ArabiaMji mtukufu...
16/10/2025

📸 MAHUJJAJI WETU WAKIWEPO MASJIDUL HARAM
Katika Safari yetu ya Hijja 1446H

📍 Makkah Al-Mukarramah, Saudi Arabia
Mji mtukufu uliochaguliwa na Allah ﷻ kuwa kitovu cha ibada na rehema.
Ni hapa ambapo mamilioni ya Waislamu huelekeza nyuso zao kila siku — mahali aliposimama Nabii Ibrahim ﷺ na mwanawe Ismail ﷺ wakijenga Nyumba Tukufu ya Allah.


📖 "إِنَّ أَوَّلَ بَيْتٍ وُضِعَ لِلنَّاسِ لَلَّذِي بِبَكَّةَ مُبَارَكًا وَهُدًى لِّلْعَالَمِينَ"
“Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, (Makka) iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.”
— Suratul Āl-‘Imrān: 96

🕋 UZURI WA MAKKAH
Mji huu mtakatifu umezungukwa na milima ya historia na nuru ya ibada.
Minara mirefu ya Al-Masjid Al-Haram inang’aa usiku na mchana, ikiwakaribisha waja wake wanaokuja kwa ikhlasi.
Leo, Makkah ni mfano wa maendeleo na utukufu — yenye nafasi kubwa zaidi, huduma bora, na urahisi wa ibada kwa mamilioni ya mahujaji kutoka duniani kote.

🔴 JE, UNA NIA YA KUFANYA HAJJ AU UMRAH?
Jiunge na safari ya kiroho yenye amani, elimu na mwongozo sahihi.
TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST — Watumishi wa Wageni wa Mola.
Usajili wa Mahujaji na Mu‘tamir kwa mwaka 1447H / 2025–26 umefunguliwa rasmi.

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

📍 MASJID QIBLATAIN (Al-Madinah Al-Munawwarah, Saudi Arabia)🕌 HISTORIA YAKEMasjid Qiblatain, linalomaanisha “Msikiti wa Q...
15/10/2025

📍 MASJID QIBLATAIN
(Al-Madinah Al-Munawwarah, Saudi Arabia)

🕌 HISTORIA YAKE
Masjid Qiblatain, linalomaanisha “Msikiti wa Qibla Mbili”, ni moja ya misikiti muhimu zaidi katika historia ya Uislamu.
Msikiti huu ni mahali ambapo amri ya kubadilisha mwelekeo wa Qibla iliteremshwa kutoka Baytul Maqdis (Jerusalem) kuelekea Al-Ka‘bah huko Makkah.
Masjid Qiblatain leo inabaki kuwa alama ya mabadiliko na uongofu, ikikumbusha waumini kuwa ibada halisi ni utiifu kwa amri ya Allah bila kusita.

📖 AYA KATIKA QUR’AN:

"قَدْ نَرَىٰ تَقَلُّبَ وَجْهِكَ فِي السَّمَاءِ ۖ فَلَنُوَلِّيَنَّكَ قِبْلَةً تَرْضَاهَا ۚ فَوَلِّ وَجْهَكَ شَطْرَ الْمَسْجِدِ الْحَرَامِ ۚ"
“Kwa yakini tukiona unavyo geuza geuza uso wako mbinguni. Basi tutakuelekeza kwenye Kibla ukipendacho. Basi elekeza uso wako upande wa Msikiti Mtakatifu”
(Surat Al-Baqarah: 144 – Tafsiri ya Al-Barwani)

🏗 HALI YAKE LEO
Masjid Qiblatain leo ni moja ya maeneo yanayopendwa zaidi na mahujaji na wageni wanaotembelea Madinah. Iko upande wa kaskazini-magharibi mwa jiji, umbali wa km 4 kutoka Msikiti wa Mtume ﷺ.
Msikiti huu umefanyiwa ukarabati mkubwa na Serikali ya Saudi Arabia, ukiwa na usanifu wa kisasa unaochanganya uzuri wa historia na teknolojia ya sasa. Unapatikana kwa umma bila ruhusa maalum kupitia Nusuk App, na ni sehemu tulivu kwa ajili ya ibada na tafakuri.

🤝 TAHADHARI / USHAURI KWA MAHUJAAJI
Unapokuwa Madinah, hakikisha unajumuisha Masjid Qiblatain katika ratiba yako ya ziara (Ziyarah). Ni bora kutembelea asubuhi au baada ya Adhuhuri ili kuepuka msongamano, na uje ukiwa katika hali ya utulivu na tafakuri.
Je, una nia ya kutembelea Masjid Qiblatain? Panga safari yako ya Hajj au Umrah kupitia nasi leo

🕋 TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST
Wakongwe wa huduma za Hijja na Umrah nchini Tanzania 🇹🇿

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

🔖

📍 MAQAAM IBRAHIM (Makkah)(Al-Masjid Al-Haram, Makkah, Saudi Arabia)🕌 HISTORIA YAKEMaqaam Ibrahim ni jiwe lililokuwa pale...
12/10/2025

📍 MAQAAM IBRAHIM (Makkah)
(Al-Masjid Al-Haram, Makkah, Saudi Arabia)

🕌 HISTORIA YAKE
Maqaam Ibrahim ni jiwe lililokuwa pale ambapo Nabii Ibrahim ﷺ alisimama alipokuwa akijenga Ka‘bah pamoja na mwanawe Ismail ﷺ. Eneo hili limebaki k**a kumbukumbu ya umoja wa ibada na utakatifu wa nyumba ya Allah.

Baada ya kukamilisha ibada ya Tawaaf waislamu huswali rakaa mbili nyuma ya eneo hili la Maqaam Ibrahim

📖 AYA KATIKA QUR’AN:

"وَإِذْ جَعَلْنَا ٱلْبَيْتَ مَثَابَةًۭ لِّلنَّاسِ وَأَمْنًۭا وَٱتَّخِذُوا۟ مِن مَّقَامِ إِبْرَٰهِـۧمَ مُصَلًّۭى ۖ وَعَهِدْنَآ إِلَىٰٓ إِبْرَٰهِـۧمَ وَإِسْمَـٰعِيلَ أَن طَهِّرَا بَيْتِىَ لِلطَّآئِفِينَ وَٱلْعَـٰكِفِينَ وَٱلرُّكَّعِ ٱلسُّجُودِ"

"Na kumbukeni tulipo ifanya ile Nyumba (ya Alkaaba) iwe pahala pa kukusanyikia watu na pahala pa amani. Na alipo kuwa akisimama Ibrahim pafanyeni pawe pa kusalia. Na tuliagana na Ibrahim na Ismail: Itakaseni Nyumba yangu kwa ajili ya wanao izunguka kwa kut'ufu na wanao jitenga huko kwa ibada, na wanao inama na kusujudu."(Tafsiri ya Al Barwani)

Suratul Baqarah: 125

LEO HII
Leo, Maqaam Ibrahim imewekwa kwenye ulinzi wa chuma ndani ya Haram ili kulinda eneo hili tukufu na ni ishara miongoni mwa ishara za Allah.

🌟 TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST
Wakongwe wa huduma za Hijja na Umrah nchini Tanzania 🇹🇿

09/10/2025

✨ OFA MAALUM YA HIJJA 2026 / 1447H ✨

Kwa idhini ya Allah, safari yako ya Hijja 2026 inaanza hapa!
Tanzania Muslim Hajj Trust inakuletea nafuu maalum ya bei kwa muda mfupi tu — jiandae mapema kwa Hijja pamoja na wakongwe wa kuhudumia mahujjaj Tanzania

💰 BEI ZA OFA:
🕓 USD 5800 – 01 Oktoba hadi 30 Novemba 2025
🕓 USD 6200 – 01 Desemba 2025 hadi 30 Januari 2026

🗓️ TAREHE:
Kuondoka: 17 Mei 2026
Kurudi: 06 Juni 2026

📍 HUDUMA KAMILI HATUA KWA HATUA:
✅ Ushauri binafsi & maandalizi ya nyaraka
✅ Usafiri wa uhakika na malazi karibu na maeneo matakatifu
✅ Mwongozo wa ibada kwa mujibu wa Qur’an & Sunnah
✅ Chakula kitamu muda wote wa safari
✅ Ziara za kihistoria na kiroho
✅ Mavazi ya Ihram & vifaa kamili vya safari
✅ Vipindi vya utangulizi kabla ya Hijja
✅ Timu yenye tajriba ya zaidi ya miaka 20+

🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hijja inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (SWT).

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST
Wakongwe wa huduma za Hijja na Umrah nchini Tanzania 🇹🇿

📲 Pata taarifa zaidi: hajjtrust.co.tz
📞 Weka nafasi yako sasa: +255 784 272 723

🕋 SAFARI YETU YA UMRAH  RABI'UL THANI 1447H IMEKARIBIA🗓️ TAREHE 8 HADI 18 OKTOBA 2025 / RABIUL THANI 1447H📍MAKKAH NA MAD...
24/09/2025

🕋 SAFARI YETU YA UMRAH RABI'UL THANI 1447H IMEKARIBIA

🗓️ TAREHE 8 HADI 18 OKTOBA 2025 / RABIUL THANI 1447H
📍MAKKAH NA MADINA, SAUDI ARABIA

TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO
✈️ TIKETI YA NDEGE (KWENDA/KURUDI)
🛂 VISA YA UMRAH
🏨 MALAZI SIKU 5 MAKKAH
🏨 MALAZI SIKU 5 MADINAH
🕌 ZIARA MAKKAH NA MADINA
💊 BIMA YA AFYA NA BIMA YA UVIKO (COVID-19)
🕋 IHRAM (KWA WANAUME) NA KHANGA (KWA WANAWAKE)
🎓 MWONGOZO WA IBADA UKIFUATA QUR'AN NA SUNNAH

🌙 Hii ni nafasi yako ya kuwa karibu zaidi na Nyumba ya Allah — bila wasiwasi wa kupanga kila kitu peke yako.

🔴 NAFASI NI CHACHE - JIANDIKISHE LEO !

📍 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Umrah inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723
📍 TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MT.PEMBA NO.16 NA MT.MKUNGUNI NO.21 KARIBU NA MAKUTANO YA LIVINGSTONE,KARIAKOO

🌅 As-Subh katika Al-Masjid An-Nabawi Baada ya Swalah ya Fajr, utulivu na nuru huenea katika Al-Masjid An-Nabawi. Wahujaa...
20/09/2025

🌅 As-Subh katika Al-Masjid An-Nabawi

Baada ya Swalah ya Fajr, utulivu na nuru huenea katika Al-Masjid An-Nabawi. Wahujaaj na waumini hukaa katika dhikr, Qur’an, na dua, wakifurahia baraka za kuwa karibu na kaburi tukufu la Mtume wa Rehma ﷺ.
🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST: WATUMISHI WA WAGENI WA MOLA

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723

09/09/2025

🕋 "HII NI TAASISI BORA ZAIDI": Ushuhuda wa Alhajj Meli – Katika viwanja vya Arafah

🗣️ "Basi naomba kila mwenye uwezo aje kuhiji. Na k**a anatafuta ni wapi atapata nafasi nzuri, aje Hajj Trust – hii ndiyo taasisi bora zaidi.

🗣️ Huduma zao zimeanzia tulikotoka Dar es Salaam – hatukupata changamoto yoyote. Tumetoka salama, tumefika salama, tumefika hotelini salama.

🗣️ Hoteli zipo karibu na misikiti na tumefanyiwa kila kitu kwa namna bora. Kwa hakika hii ni Hajj yangu ya kwanza, na ninatoa wasifu mkubwa kutokana na huduma nilizoona.

🗣️ Naomba Allah (ﷻ) atuwezeshe, atupatie tawfiq, na aibariki taasisi yetu kutokana na juhudi wanazozifanya kutuhudumia."

🕋 Jiandikishe leo na hakikisha safari yako ya Hajj inakuwa ya utulivu, elimu na kukubaliwa kwa idhni ya Allah (Subhanahu Wata'ala)

📲 PATA TAARIFA ZAIDI SASA KUPITIA TOVUTI YETU: 👉 hajjtrust.co.tz
📞 PIGA SIMU LEO KUWEKA NAFASI YAKO: +255 784 272 723

Address

Mtaa Wa Pemba No. 16 Na Mkunguni No. 21 Karibu Na Mtaa Wa Livingstone
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Muslim Hajj Trust posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category