All Tanzania buses

All Tanzania buses ๐ŸŒ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ'๐˜€ ๐—จ๐—น๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐—•๐˜‚๐˜€ ๐—š๐˜‚๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ,
๐Ÿ“ธ ๐—ฃ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ผ๐˜€, ๐—ง๐—ถ๐—ฝ๐˜€ & ๐—จ๐—ฝ๐—ฑ๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐˜€
๐Ÿ“ฉ ๐——๐—  ๐—™๐—ข๐—ฅ ๐—•๐—จ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—˜๐—ฆ๐—ฆ, ๐—”๐——๐—ฉ๐—˜๐—ฅ๐—ง & ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐— ๐—ข
๐ŸŒŸ
๐Ÿš ๐—ฆ๐—”๐—™๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ก๐—œ ๐—™๐—จ๐—ฅ๐—”๐—›๐—” ๐Ÿ˜€
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐™€๐™ญ๐™ฅ๐™ก๐™ค๐™ง๐™ž๐™ฃ๐™œ ๐™๐™–๐™ฃ๐™ฏ๐™–๐™ฃ๐™ž๐™–๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Asante Rabi   ยฆยฆ   YUTONG-D14  ยฆยฆ VVIP CLASSUmewahi kusafiri na asante Rabi express !! Uliifurahia safari yako !๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•...
01/05/2026

Asante Rabi ยฆยฆ YUTONG-D14 ยฆยฆ VVIP CLASS


Umewahi kusafiri na asante Rabi express !! Uliifurahia safari yako !

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Wote tunatambua kuwa newforce na golden ni kampuni moja lakini haitoshi KIZAZI CHA usajil wa DPK kilifanya watu Wa amini...
01/05/2026

Wote tunatambua kuwa newforce na golden ni kampuni moja lakini haitoshi KIZAZI CHA usajil wa DPK kilifanya watu Wa amini golden deer zinakimbia zaidi kuliko newforce Licha ya kuwa zote ilikua toleo moja yaani zhongtong climber upgrade

JE na wewe ni miongoni mwa wale waliokuwa na imani hii ๐Ÿ˜

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Kitunda๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜DAR utaipend kiangazi tu๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚
01/05/2026

Kitunda

๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜DAR utaipend kiangazi tu

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Mliofika moshi mnaunga hii hoja au mnaipinga ??๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚
01/05/2026

Mliofika moshi mnaunga hii hoja au mnaipinga ??

๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜
๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Mwamba alikua anaona mbali ....Kampuni gani Ina viti vya design hii ??Unasafir mpaka unatamani usishuke ๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž...
30/04/2026

Mwamba alikua anaona mbali ....
Kampuni gani Ina viti vya design hii ??
Unasafir mpaka unatamani usishuke

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

K**a unamjua mtajeeeee ......๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚
30/04/2026

K**a unamjua mtajeeeee ......

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Hili vuguvugu la mdada nayce naona k**a halipoiKila Mahali ni ushauri na wengine wanaongea mpaka mambo ya kampuni au mau...
30/04/2026

Hili vuguvugu la mdada nayce naona k**a halipoi
Kila Mahali ni ushauri na wengine wanaongea mpaka mambo ya kampuni au mauala ya ndani kabisa kiasi cha kujiuliza walikuwepo??๐Ÿ™„ ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Nayce atabaki kuwa kioo cha makondakta wengi walivutiwa na kazi hii lakini ISIWE Habari ya udaku yeye kutoonekana hivi karibuni kiasi cha kusema Kuna ugomvi na waajili . Huo ugomvi uliuleta wewe .?๐Ÿ˜

Nadhani IFIKE Mahali media zijifunze kuheshimu mipaka sio kila jambo ni la KUPELEKA mitandaon hata k**a sio la kweli dimladi kuvuta tension . ..
Jaribu kuwa na subiri muda ni jibu ..
Lakini pia tuounguze kutoa ushauri kwenye maisha ya watu kila mtu Ana maisha yake ..

Mimi binfsi sitoliongelea Zaid hili jambo ila neno langu ni hili
''tuounguze ushauri kwenye maisha ya watu na kutoongea jambo usilokuwa na ushahidi au uhakika nalo

''๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

K**a kawaid MEI MOSI 01/05/2026 nauli zitapanda kwa kampuni nyingi zinazofanya safari hapa TanzaniaLakini Ratco express ...
30/04/2026

K**a kawaid MEI MOSI 01/05/2026 nauli zitapanda kwa kampuni nyingi zinazofanya safari hapa Tanzania
Lakini Ratco express wanakuambia wao itabaki ile ile
Dar tanga dar
company

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Hivi karibuni kampuni nyingi zimazofanya safari hapa nchini Tanzania, zilitangaza kuanza kutumia nauli mpya kuanzia mei ...
30/04/2026

Hivi karibuni kampuni nyingi zimazofanya safari hapa nchini Tanzania, zilitangaza kuanza kutumia nauli mpya kuanzia mei MOSI au tarehe 1/5/2026 .
MOJA YA sababu ni Kutokana na KUPANDA kwa bei ya mafuta .

Tutatumia mfano wa DAR ES SALAAM KWENDA MIKOANI KUBAINI NAULI IMEPANDA KIAZI GANI !

JE ! kutokea mkoa uliopo kwenda dar es salaam nauli imependa kutoka kiasi gani kwenda kiasi gani ?

Dodondosha comment hapa chini !

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

30/04/2026

Ni mwendo wa vinanda tu .tupo na dereva wa mkoa

KINGLONG BUS new model ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Unapata wapi nguvu ya kuongea maisha ya mwenzio mtandaoni ??HUYU Dada mmesak**a sio kidogo .Apewe nafasi ya kuishi maish...
30/04/2026

Unapata wapi nguvu ya kuongea maisha ya mwenzio mtandaoni ??
HUYU Dada mmesak**a sio kidogo .
Apewe nafasi ya kuishi maisha yake binafsi ....

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Wangapi mnazikumbuka hizi kampuni UELEKEO NYANDA ZA JUU KUSINI wale wa COMFORT HOTEL MNAELEWABADO zipo au zimeshasimama ...
29/04/2026

Wangapi mnazikumbuka hizi kampuni UELEKEO NYANDA ZA JUU KUSINI wale wa COMFORT HOTEL MNAELEWA

BADO zipo au zimeshasimama kutoa huduma ??

๐˜ผ๐™‡๐™‡ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐˜ผ๐™‰๐™„๐˜ผ ๐˜ฝ๐™๐™Ž๐™€๐™Ž || ๐™†๐™ช๐™ข๐™—๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐™จ๐™–๐™›๐™–๐™ง๐™ž ๐Ÿซ‚

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when All Tanzania buses posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to All Tanzania buses:

Share